MADRID WAMKATAA VINI, HAWAMTAKI TENA


 Klabu ya Real Madrid C.F. inaripotiwa kuwa hivi sasa wako tayari kumuuza Vini Jr ikiwa watapokea ofa nzuri na kubwa kutoka klabu ya Saudi Pro-League (Al Ahli Jeddah) katika dirisha kubwa lijalo la usajili.



Real Madrid C.F wamechoshwa na mazungumzo ya kuongeza mkataba dhidi ya Vini Jr ambayo mpaka Sasa hayafikiwa makubaliano.


Source: [ Football Transfers ] & [ Derek Katey Caesar ]


Post a Comment

Previous Post Next Post