KIGOGO AANIKA SIRI YA UTAJIRI WA CHIEF GODLOVE "NIMCHAWI


 Kumekuchaa Kigogo Anasema Chiefgodlove Nimshirikina Apuuzwe :- Kupitia Ukrasa Wa Instagram Wa Kigogo ANAANDIKA Baada Ya Chiefgodlove Kutangaza Kununua Gari Nyingine Yenye Thamani Ya Bilion Moja Point Tano.


Niimepata source ya utajiri wa huyu dogo dogo


1. Chief ni mshirikina kweli na hela anazo kweli siri za ibada zao za kwenye magroup yake zinatisha

2. Yani miaka 29 unawezaje kumiliki gari moja la billion moja na million 500? Huyu dogo ni kiongozi wa kikundi cha kishirikina


3. Kuna Nyumba Kapanga Bunju B huko ndiko anafanyia makafara ya Ng’ombe zinabebwa kwenye kirikuu kila baada ya siku saba wanachinja Ng’ombe Takriban 10 na hayuko pekeake, yupo na wafuasi wake wa jicho la tatu

4. Naskia Kuna wamama anawasaidia wanafedha mnoo ndio wanaompatia fedha akiwatatulia matatizo yao

6. na kuna wengi wenye fedha wanamfuata dogo naskia kukutana nae sio rahisi anaulinzi wa walinzi wa bunduki wanne na anatembea na msafara kwenye msafara kuna walinzi wa bastola wanne wanaenda nae kila anapoenda na anawadogo zake wanabunduki ambao kazi yao ni mpaka anaenda kulala wakonae dogo anahela ila ni mwanga mpuuzieni ataharibu vijana wengi na uchawi wake 🚮🚮🚮


Ameandika kigogo🙌

Post a Comment

Previous Post Next Post